Habari za Punde

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Wakichangia Hutuba ya Rais wa Zanzibar Alipolihutubia Baraza Wakati wa Uzinduzi wa Baraza la Tisa.


Mwakilishi wa Jimbo la Chaani Zanzibar Mhe Nadir Abdul-latif Yussuf akichangia wakati wa mkutano wa Tisa wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. 
Mwakilishi wa Nafasi za Wanawake Mhe Mgeni Hassan Juma akichangia hutuba ya Rais wa Zanzibar Dk Shein.
Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Maalim Rashid Makame Shamsi. akifuatilia michango hiyo wakati wa Baraza la Tisa lililofanyika katika ukumbi wa Baraza Chukwani Zanzibar. 
 Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi Mhe Moudline Castico akichangia Hutuba ya Rais wa Zanzibar wakati wa mkutano wa Tisa wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar uliomaliza kikao chake jana na kuahirishwa hadi mwezi wa tano mwishoni.
Mwakilishi wa Nafasi za Wanawake Mhe Shadya Mohammed Suleiman akichangia hutuba ya Rais wa Zanzibar. wakati wa uzinduzi wa Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.