Habari za Punde

Dk Shein, Azungumza na Waandishi wa Habari Zanzibar Wakati wa Kutangaza Baraza Jipya la Mawaziri Wake.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali viliko Zanzibar wakati wa kutangaza Baraza lake Jipya la Mawaziri Ikulu leo. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali viliko Zanzibar wakati wa kutangaza Baraza lake Jipya la Mawaziri Ikulu leo.


Waandishi wa habari wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akizungumza nao katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo asubuhi.
Mwandishi wa habari wa ITV na Redio One Farouk Karim alipata fursa ya kuuliza swali kwa Rais wa Zanzibar wakati wa mkutano huo na waandishi uliofanyika Ikulu Zanzibar leo.
Mwandishi wa habari wa Kituo cha TV cha Chanel Ten Munir Zakari akiuliza swali katika mkutano huo na Rais wa Zanzibar Dk Shein Ikulu Zanzibar.
Mwandishi wa Kituo cha TV cha Star Tv Ndg Abdalla Pandu akiuliza swali wakati wa mkutano huo.
Mwandishi wa Gazeti la Zanzibar Leo Ndg Hafsa Golo akiuliza swali kwa Rais wa Zanzibar wakati wa mkutano huo na waandishi wa kutangaza Baraza la Mawaziri Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akijibu maswali ya baadhi ya waandishi waliopata fursa ya kuuliza. 
Waandishi wa habari wakiwa makini wakifuatilia maelezo ya Rais wa Zanzibar Dk Shein, wakati akizungumza na Waandishi Ikulu Zanzibar.
Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akijibu maswali ya waandishi wa habari wakati wa mkutano wake na waandishi katika kutangaza baraza jipya la Mawaziri Zanzibar Ikulu leo.asubuhi Zanzibar.
Waandishi wa Habari Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
Waandishi wa Habari Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Waandishi wa habari Zanzibar, baada ya mkutano wake na Waandishi Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Katibu Mkuu Kingozi Dk Abdulhamid Yahya Mzee na Washauri wa Rais Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja na Waandishi wa Habari baada ya mkutano wake na Waandishi Ikulu Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.