Habari za Punde

Yanga ikijifua Uwanja wa Gombani kukabiliana na Al Ahly Jumamosi

 Timu ya Yanga ikiendelea na mazoezi ya mwisho Ijumaa kabla ya kukabiliana na Al Alhly Jumamosi katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam
Timu ya Yanga wakiwa katika mazoezi ya mwisho kabla ya kukutana na timu nguma ya Al Ahly Jumamosi wakisikiliza kwa makini maelekezo ya Kocha Plum ndfani ya Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba walipopiga kambi kwa ajili kukabiliana na waarabu.

Picha na Abdi Suleiman, Pemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.