Shangwe
haimaliziki: Kwa
maneno mengine, haipendezi
maneno mengine, haipendezi
kukatisha furaha yako au
Shangwe yako ghafla. Wakiwa
na wazo hili kichwani, Kampuni ya simu Nchini Tanzania Huawei wamezindua simu mpya Y6 Pro. Ikiwa ni miongoni wa simu chache sokoni zenye uwezo wa kudumu na charge baada ya matumizi mengi, na hivyo kuruhusu Shangwe kudumu Zaidi.
Shangwe yako ghafla. Wakiwa
na wazo hili kichwani, Kampuni ya simu Nchini Tanzania Huawei wamezindua simu mpya Y6 Pro. Ikiwa ni miongoni wa simu chache sokoni zenye uwezo wa kudumu na charge baada ya matumizi mengi, na hivyo kuruhusu Shangwe kudumu Zaidi.
Dar Es Salaam, Mei 2016; Huawei Tanzania leo wametangaza
ujio wa Huawei Y6 Pro katika soko la
Tanzania. Ongezo jipya
katika familia ya simu za Huawei Y, ni la kipekee na
ubora Zaidi
lililoambatanisha hali ya juu ufanisi na utendaji kazi. Simu hii ni
rafiki bora wa kuwa na wewe siku nzima hivyo kumwezesha mtumiaji kupata Zaidi
katika simu yake ya mkononi.
Uzinduzi huu unakuja kwa wakati kuungana na Bodi ya mamlaka
ya
mawasiliano TCRA kuhimiza wateja kutumia simu zilizosahihi
ama orijino na
kudhibiti soko la simu bandia. Kuungana na
Mpango wa TCRA, Huawei Tanzania
wamepanga bei ya Y6 Pro
iwe inayoweza kununulika na waTanzania wote, ili waweze

ambako,
bei na matumizi yana umuhimu sawa. Simu hii ni
mahususi kwa wale wanaopenda
simu zao kukaa muda mrefu bila
kuchaji. Ni simu pekee iliyo katika bei hii
yenye uwezo wa
kuhimili matumizi makubwa kwa siku kadhaa” alisema Bwana
Y6 Pro imetumia muundo wa kipekee na
ubora wa hali ya juu.
Zaidi ya smartphone, Y6 Pro inaleta uwiano katika urahisi,
utumiaji na uzuri. Y6 Pro inawakilisha muundo wa maisha wa kuwa tayari muda
wowote, hisia za ujana na mtazamo chanya ambao unawakilisha wateja wa Tanzania.
Muundo wa simu hii ambao ni mzuri, wa kuvutia wenye muuonekano wa kipekee
unaoruhusu watumiaji kushika simu kwa urahisi. Ikiwa ni sehemu ya muundo wao,
wabunifu wa Huawei walifanya utafiti wa vifaa vilivyo vya ubora wa hali ya juu,
muundo pamoja na mikunjo kwa ajili ya ukaaji ulio bora kiganjani.
“Tukiwa na shauku yetu katika
teknolojia na uvumbuzi,
tumepangakuunda vitu vipya katika simu zetu. Tumepanga
kuongeza vifaa makini ambavyo vitaboresha matumizi kwa siku nzima. Y6 Pro ni
simu mahususi kwa watumiaji wenye matumizi mengi sana katika simu” alisema
Bwana Huziangyang Jacko, Meneja Mkazi wa simu za Huawei.
Ikiwa na kamera ya mbele yenye mega pixeli
5 na nyuzi 84
kwenyelensi yenye uwezo wa kutambua sura hivyo kufanya kujipiga
picha kuwa rahisi na furaha zaidi. Ikiwezeshwa kwa ajili ya mwanga mdogo, Y6
Pro ina kamera ya nyuma yenye megapikseli 13 ambayo inauwezo wa kupiga picha
usiku na mchana.
Smartphones zimeshika kasi ya kuwa
kivutio kikuu nchini
Tanzania, na Huawei Tanzania wanafanya kufurahia simu yako
ya
mkononi kwa wepesi zaidi. Muundo wa kipekee wa sauti wa Y6
Pro unaongeza
sauti kwa asilimia 150 na kusaidia sauti
kutozuiliwa hata spika ya simu ikiwa
imefunikwa. Pia watumiaji wanaweza ongea na kupiga simu hata katika mazingira
yenye kelele nyingi.
Kwa Muonekano wa kipekee Y6 Pro
zinapatikana nchini Tanzania
katika miundo ya kipekee, ikiwa katika rangi
nyeupe, kijivu na
dhahabu. Muonekano wa Y6 Pro ni nyembamba na nyepesi
kubeba.
Y6 Pro inajumuisha uwezo wa betri
unaohitajika. Simu hii
inajumuisha utumiaji mzuri wa betri unaoruhusu kutumia
simu
kwa zaidi ya masaa 90. Pia ina miundo kadhaa ya kuruhusu kuhifadhi chaji.
Y6 Pro ina uwezo kutambua ikiwa inatumika au la hivyo kuiruhusu kuhifadhi chaji
ikiwa haina matumizi. Y6 Pro ina uhakika wa kukaa na nguvu muda mrefu zaidi.
Y6 Pro imeundwa kuendana na mazingira
yako ukiwa nyumbani,
kazini au katika mizunguko. Huawei Tanzania inatazamia Y6
Pro
kuwa simu ambayo inaendana na wa Tanzania na kutoa msaada
katika matumizi
yao.
Simu hii ina kuletea muundo wa
kipekee na ubora wa hali ya juu
ikiwa na mwonekano bora na kukupa furaha katika
matumizi.
Katika kuelewa mahitaji ya watumiaji
simu za smartphone
Tanzania, Y6 Pro imeundwa na mfumo wa android wa 4G wenye
hali ya juu ya ubora na uwezo wa kufanya kazi zaidi ya moja kwa
“Huawei ni moja kati ya wasambazaji
wachache wa vifaa ambao
wana maabara iliyohakikiwa ulimwenguni yenye vifaa
vilivyobora
zaidi. Tumeunda vifaa hivi kuhakikisha kuwa vinakidhi matarajio
ya
watumiaji, simu ambayo haitawaangusha na itadumu kwa muda
mrefu zaidi,”
alimalizia Bwana Huziangyang Jacko, Meneja Mkazi
wa Huawei Tanzania.
Kuongeza usalama wa simu na kutambau
simu zisizo halisi nchini,
Huawei Tanzania imepanga kuleta simu zaidi na vifaa
zaidi vvenye
ubora na vilivo halisi, ili watanzania wote waweze pata kiurahisi
simu zilizohalisi.
No comments:
Post a Comment