Watendaji wa Kituo cha Huduma za
za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, wakiambatana mwendesha mashitaka, hakimu
na mamlaka ya kuzuia rushwa na uhujumu wa uchumi, wakipandisha ngazi za kituo
cha Polisi Mkoani, tayari kwa ziara ya kubadilishana uzoefu wa kikazi
Afisa Mipango wa Kituo cha
Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Khalfan Amour Mohamed, akifungua
mkutano wa kubadilisha uzoefu wa kikazi, kwa watendaji wa Jeshi la Polisi,
kutoka Mkoani na Mtambile, mkutano huo uliofanyika Mkoani
Mratibu Kituo cha Huduma za
Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed, akizungumza, kwenye
mkutano wa kubadilisha uzoefu wa kikazi, kwa watendaji wa Jeshi la Polisi,
kutoka kituo cha polisi Mkoani na Mtambile, mkutano uliofanyika Mkoani
Hakimu wa Mahakama wa Mkoa
Chakechake, Khamis Simai, akifafanua jambo kwenye mkutano wa kubadilisha uzoefu
wa kikazi, kwa watendaji wa Jeshi la Polisi wilaya ya Mkoani, Kituo cha Huduma
za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, afisi ya mkurugenzi wa mashitaka na
Mamlaka ya kuzuia rushwa, mkutano uliofanyika Mkoani
Mkuu wa Kituo cha Polisi
Mkoani Hassan Khamis Juma, akitoa neno la shukuran, mara baada ya kumalizika
kwa mkutano wa kubadilisha uzoefu wa kikazi, kwa watendaji wa Jeshi la Polisi,
Kituo cha Huduma za sheria, mahakama, afisi ya mkurugenzi wa mashitaka na
Mamlaka ya kuzuia rushwa, mkutano uliofanyika kituo cha Polisi Mkoani Pemba
Watendaji wa Kituo cha Sheria wakiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar
ZLSC, Mahakama, watendaji wa Jeshi la Polisi wilaya ya Mkoani, afisi ya
mkurugenzi wa mashitaka na Mamlaka ya kuzuia rushwa, nje ya kituo cha Polisi
Mkoani, mara baada ya mkutano wa pamoja na wa taasisi hizo, (Picha na Haji Nassor, Pemba)
No comments:
Post a Comment