KAIMU MKURUGENZI MKUU FCC ATEMBELEA BANDA LA WMA SABASABA
-
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC) Tanzania bi.Hadija Juma
Ngasongwa akisaini kitabu Cha wageni mara baada ya kutembelea banda la
Wakala Wa V...
2 hours ago
Hawa jamaa mbunge na mwakilishi Wana chembe ya mawazo ya kidini kweli? Ramadhan ni mwezi wa kuzama ktk ibada jamaani, mipira na michezo mengine vipi? Ushauri na tuanzishe na msshindano ya kuhifadhi quraan, kheir kubwa itapatikana majimboni
ReplyDeleteKatika viongozi wachache ambao nina wakubali kwa dhati basi ni pamoja na Mh Masauni. Lkn katika hili basi naungana kwa asilimia 100 na mchangiaji wa hapo juu. Huu ni mwezi mtukufu,tungejikita katika kumuabudu Muumba wetu na si vyenginevyo.
ReplyDelete