AMREF TANZANIA NA BUFFALO BICYCLES WAKABIDHI BAISKELI 250 KWA MABALOZI WA
FISTULA GEITA
-
Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Geita, Dkt. Yohane Kihaga akikabidhi moja ya
baiskeli kwa Mhudumu wa Afya Ngazi ya Jamii.
Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Geita,...
47 minutes ago
Hawa jamaa mbunge na mwakilishi Wana chembe ya mawazo ya kidini kweli? Ramadhan ni mwezi wa kuzama ktk ibada jamaani, mipira na michezo mengine vipi? Ushauri na tuanzishe na msshindano ya kuhifadhi quraan, kheir kubwa itapatikana majimboni
ReplyDeleteKatika viongozi wachache ambao nina wakubali kwa dhati basi ni pamoja na Mh Masauni. Lkn katika hili basi naungana kwa asilimia 100 na mchangiaji wa hapo juu. Huu ni mwezi mtukufu,tungejikita katika kumuabudu Muumba wetu na si vyenginevyo.
ReplyDelete