Habari za Punde

Dr. Kigwangalla Aongoza Ujumbe wa Tanzania Mkutano wa Ukimwi wa Umoja wa Mataifa.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  Mhe. Dr.Hamis Kigwangalla ( Mb)  akiwa na   baadhi ya wajumbe wa Tanzania Dr. Hamis Mwinyimvua, Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais ( Policy &Coordination)  na Mhe. Constantine Kanyasu (  Mbunge wa Geita na Makamu  Mwenyekiti wa  Kamati ya Bunge ya Ukimwi,  katika  siku ya kwanza ya  ufunguzi wa  Mkutano wa ngani ya juu  kuhusu Ukimwi ambao umeandaliwa na  Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Mkutano huyu umefunguliwa na  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,  Ban Ki Moon.


   Na MwandishiMaalum, New York.
Mkutano wa Ngazi ya Juu wa Umoja wa Mataifa,  kuhusu masuala ya ugonjwa wa Ukimwi umeanza leo (Jumatano) hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa.

Ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano huu wa siku tatu na ambao umeandaliwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa Kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Ukimwi ( UNAIDS),unaongozwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dr. Hamis A Kigwangalla (Mb).

Wengine katika ujumbe huo ni Dr.Hamis H. Mwinyimvua Katibu Mkuu, Ofisi ya  Waziri Mkuu (Policy & Coordination), Mhe. Constantine John Kinyasu. Mbunge wa Geita Mjini na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ukimwi,Dr.Fatma Mrisho Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS na wataalamu mbalimbali.
Akifunguamkutanohuo,KatibuMkuuwaUmojawaMataifa,  Ban  Ki Moon amesemakunahatuakubwazimefikiwakatikakukabiliananamaambukiziyavirusivyaukimwinaugonjwawaukimwi.

Ameyatajabaadhiyamafanikiohayonipamojanaongeko la idadiyawatuwanapatahudumazadawazakuzuiamakaliyaukimwi. OngezekohilokwamijibuwaKatibuMkuulimechangiwanaupatikanajiwadawazagharamanafuu.
“Mpakaleohii,  zaidiyawatu 17 milioniwanapatiwahudumahiyonahivyokuokoamaishayamailioniyawatunawakatihuohuokuokoamabilioniyafedha.
Mafanikiomengineyametajwakuwanipamojanakupunguawamaambukizokwaasilimia 35 tangumwaka 2000,  kupungukwaasilimia 43 yavifovinavyohusiananaugonjwawaukimwitangumwaka 2003.
“Ninayofurahakwambamaambukizimpyayavirusivinavyosababishaukimwikwawatotoyamepunguakwaasilimia 56 katikakipindi cha miakakuminatanoiliyopita. Ili halinchinne, cuba, Thailand,  Armeniana Belarus hakunakabisamaamkizokwawatoto. Ni matumaniyangututakifiamahalipakuwanasifuriyamaambukikwawatoto” akasisitiza Ban Ki Moon.
Pamojanamafanikiohayoyote, KatibuMkuuwaUmojawaMataifa,  ametahadharishakwambakamajumuiyayakimataifahaitatumiamafanikohayokuongezakasizaidinakushughulikiatatizo la ukimwikwanguvuzaidikunauwezekanomkubwakwambaugonjwahuoukarudikwakasikubwazaidikulivyoilivyosasanahususanikatikanchizenyeuchumimdogonawakati.
ViongoziwenginewaliozungumzawakatiwaufunguzinipamojanaRaiswaBarazaKuu la UmojawaMataifa, BwMongesLykketoftnaMkurugenziMkuuwa UNAIDS Michael  Sidibe.
Katikasikuhiiya kwanza yamkutanowakilelekuhusuUkimwi,  wajumbekutokakaribumataifayotedunianiambayoniwanachamawaUmojawaMataifa,  walipitishatamko la  kisiasakuhusumatokeoyamkutanohuu.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.