Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein,[Picha na Ikulu.]03/06/2016.
Mwanachama cha Mapinduzi wa Jimbo la Mfenesini Wilaya ya Mfenesini Mkoa wa Magharibi Mashaka Petro alipokuwa akichangia kukushu matengenezo ya Barabara ya Mwachealale wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein,alipokua akizungumza na wanachama hao alipowashukuru na kuwapongeza kwa ushindi wa Uchaguzi marudio uliomalizika mwezi wa Machi mwaka huu,katika mkutano ulifanyika leo katika ukumbi wa CCM Mkoa Amani,[Picha na Ikulu.] 01/06/2016.
Balozi kutoka Koani Mwanahamis Iddi Mwanachama cha Mapinduzi wa Jimbo la Mfenesini Wilaya ya Mfenesini alipokuwa akichangia kuhusu wanachama wanaokiuwa Chama wachukuliwe hatua wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein,alipofanya mkutano wa kuwashukuru na kuwapongeza wanachama Viongozi wa Wilaya ya Mfenesini kwa ushindi wa Uchaguzi marudio uliomalizika mwezi wa Machi mwaka huu,katika mkutano ulifanyika leo katika ukumbi wa Tawi la Chuo cha Mwalimu Nyerere,Bububu Mkoa wa Magharibi,[Picha na Ikulu.] 03/06/2016.
Mwanachama wa Umoja wa Vijana UVCCM Rashid Mohamed Othman alipokuwa akitoa mchango wake uliogusia zaidi uendelezaji wa Matawi ya Chama yaendane na hadhi mchango huo aliutoa leo katika ukumbi wa Chuo cha Tawi la Mwalimi Nyerere Bububu Mkoa wa Magharibi Unguja wakati wa Mkutano wa Kuwashukuru Viongozi wa Mashina,wenyeviyi wa Matawi na Maskani uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein, [Picha na Ikulu.] 03/06/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mfenesini Bw. Mjumbe Msuri wakati wa mkutano wa kuwashukuru na kuwapongeza wanachama cha Mapinduzi Wilaya hiyo uliofanyika leo katika ukumbi wa taCCM Mkoa Amani, [Picha na Ikulu.] 01/06/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na wanachama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Mfenesini Kichama, Mkoa wa Magharibi wakati alipokua akiwapongeza wanachama hao baada ya ushindi wa Uchaguzi marudio uliomalizika mwezi wa Machi mwaka huu,mkutano ulifanyika leo katika ukumbi wa Tawi la Chuo cha Mwalimu Nyerere Bububu,[Picha na Ikulu.] 03/06/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na wanachama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Mfenesini Kichama, Mkoa wa Magharibi wakati alipokua akiwapongeza wanachama hao baada ya ushindi wa Uchaguzi marudio uliomalizika mwezi wa Machi mwaka huu,mkutano ulifanyika leo katika ukumbi wa Tawi la Chuo cha Mwalimu Nyerere Bububu,[Picha na Ikulu.] 03/06/2016
No comments:
Post a Comment