Watendaji wa
Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, wakiwa na watendaji wa
afisi za mahakama, waendesha mashitaka na Mamlaka ya kuzuia rushwa na uhujumu
wa uchumi, wakienda kwenye gereza
lililoko Kengeja wilaya ya Mkoani, ikiwa ni ziara maalumu
Watendaji wa
Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, wakiwa na watendaji wa
afisi za mahakama, waendesha mashitaka na Mamlaka ya kuzuia rushwa na uhujumu
wa uchumi, wakiwa kwenye vikalio maalum, kwenye kambi ya askari magereza Kengeja
wilaya ya Mkoani, kabla ya kuanza kuzungumza na wapiganaji na wanafunzi waliopo
hapo
Kamanda Dhamana wa kambi ya wapiganaji wa askari wa magereza Kengeja wilaya ya Mkoani
Pemba, Hafidh Haji Mcha, akiwakaribishwa watendaji wa Kituo cha Huduma za
Sheria Zanzibar LZSC na ujumbe wao, wakati walipowatembelea kwenye kambi hiyo
Mwendesha Mashitaka kutoka afisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka Pemba, Seif Mohamed Khamis
akifafanua jambo, mara baada ya wanafunzi wa gereza la Kengeja, kutaka maelezo
ya ucheleweshaji wa hati za hukumu kwa ajili ya kukata rufaa
Afisa Mipango
wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Mohamed Hassan Ali,
akieleza juhudi zilizochukuliwa na ZLSC katika kutoa elimu ya utawala bora,
wakati timu ya watendaji hao walipokuwa kwenye gereza lilioko Kengeja wilaya ya
Mkoani
Mratibu wa
Kituo wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSSC tawi la Pemba Fatma Khamis
Hemed akimkabidhi magazeti maalum Kamanda Mdhamini wa kambi ya askari chuo cha
mafunzo Kengeja, wakati ujumbe wa ZLSC ulipofika kuwatembelea
Watendaji wa Kituo cha huduma za Sheria, wapigaji wa
vyuo vya mafunzo Kengeje, hakimu, mwendesha mashitaka mtendaji wa Mamlaka ya
kuzuia rushwa, wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kumaliza mkutano wa kubadilishana
uzoefu wa kazi.
(Picha na Haji Nassor,
Pemba).
No comments:
Post a Comment