MAFUNDI wa rangi na wakiwa kazini kumalizia upakaji rangi , kwenye skuli mpya ya Maandalizi ya Junguni wilaya ya Wete, ambayo
imejengwa na TASAF III, kwa gharama ya shilingi milion 61 pamoja na fanicha
zake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
TIRDO YAFANIKISHA KUFUNGA MTAMBO UNAOONDOA GANDA LAINI LA KOROSHO
-
Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limefanikisha
kufungwa kwa mtambo unaoondoa ganda laini la korosho ili kuongeza thamani
zao hil...
32 minutes ago
No comments:
Post a Comment