Habari za Punde

Jinsi zilivyo nyumba za maendeleo za Mtemani, Wete Pemba

 NYUMBA za maendeleo za Mtemani Wete Pemba, zikiwa dhoful-hali, zikihitajia mtangenezo makubwa, ambapo tokea zilizojengwa mwaka 1972 hazijawahi kufanyia, ingawa hadi sasa pamoja na uchakavu huo, wananchi wanaendelea kuishi, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 NYUMBA za maendeleo za Mtemani Wete Pemba, zikiwa dhoful-hali, zikihitajia mtangenezo makubwa, ambapo tokea zilizojengwa mwaka 1972 hazijawahi kufanyia, ingawa hadi sasa pamoja na uchakavu huo, wananchi wanaendelea kuishi, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
’NAKUPITA’, watoto wanaoishi katika nyumba za maendeleo Mtemani Wete Pemba, wakipandisha ngazi kwa mtindo wa kukimbizana, jambo ambalo linaweza kusababisha athari kwao, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.