Habari za Punde

Vijana wa Jumuiya ya Kuhifadhi Mazingira Wapanda Miti ya Mikoko

Wanajumuiya ya Kuhifadhi Mazingira wa Jumuiya ya Jumuiko la Mabadiliko ya Taiba ya Nchi Zanzibar (ZACCA), wakipanda miti kwa kushirikiana na wananchi wa Vumawimbi Makangale Wilaya ya Micheweni, ikiwa ni zoezi la uhamasishaji upandaji wa miti kwa lengo la kuhifadhi mazingira kisiwani Pemba, ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi
Miti aina ya mikoko au mikandaa iliyopandwa katika eneo la Machopezeni Vumawimbi Makangale Wilaya ya Micheweni Kisiwani Pemba, kwa lengo la kuhifadhi mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi
Afisa Mipando wa Jumuiya ya Jumuiko la Mabadiliko ya Taiba ya Nchi Zanzibar (ZACCA)Mustafa Imani, akitoa taaluma ya upandaji wa miti aina ya mikoko kwa wanavikundi wa Shumba Mjini Wilaya ya Micheweni Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.