Habari za Punde

Taarifa ya Baraza la Watoto Zanzibar.

TAARIFA YA BARAZA LA WATOTO  JUU YA MATUKIO YA KUTISHA YANAYO WAPATA WATOTO KATIKA MSIMU WA SKUKUU DHIDI YA MATUMIZI YA VIFAA VYA KUCHEZEA KAMA BASTOLLA ZA CHUBWI,BARUTI,HATA NA MISHARE. AMBAVYO VINA  MADHARA KWA WATOTO.
TAREHE 02/07/2016.

Nduguwaandishiwahabari,Wageniwaalikwa,

Assalamaleikum.

Kwaniabayawatotowamabazayawatotohapanchini,sisinimash

ahidiwamatukioyanayotokeakilaleoambayoyanakithirizaidikati

kawakatihuuwaskukuuzaeid,ambazozinafanyikatakribanimar

ambilikwamwaka.

Vifaa ambavyo vinauzwa vimekuwa na athari kubwa kwa watoto.la kutofuka macho kutokana na vifaa hivi vyenye ncha na kuruka,mfano mishale na bastola za chubwi,kumezwa na kuingia sehemu za hewa na vyengine sehemu za kula kama vile vifirimbi na mabofu.

Ndugu waandishi wa habari,pamoja na tamko hili tuna ripoti ya wagonjwa walioathirika kwa mwaka 2015 ambao idadi yao haipungui watoto 24.

Tunaiomba serekali kupitia Wizara husika,pamoja na wafanyabiashara ambao wamekuwa wanausika kinamna moja au nyengine katika swala la uuzaji na usambazaji wa vifaa hivi kushirikiana na kupiga marufuku 

uuzaji wa bidhaa hizo katika sikukuu ya mwaka 2016 na 

nyengine zinazokuja mbeleni,Ili kuhakikisha tunamlinda na kumtetea mtoto, aidha watoto wenye tabia za kutumia na kununua vifaa hivi tunawashauri kununua bastola bila ya chubwi na baruti au kutonunua kabisa. ni hatari kwa afya yako na ya mtoto mwenzako.

Na malizia kwa ksema Kulinda na kutetea haki za watoto ni jukumu langu mimi na wewe.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.