MRATIBU wa Mafunzo ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa
sheria, kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Safia
Saleh Sultan akizungumza juu ya mafunzo hayo, kwa masheha na madiwani wa wilaya
ya Mkoani, yaliofanyika mjini Chakechake,
(Picha na Haji Nassor, Pemba).
MASHEHA na madiwani wa wilaya ya Mkoani,
wakimsikiliza Mkuu wa wilaya ya Mkoani, Hemed Suleiman Abdalla, hayupo pichani
akifungua mafunzo ya siku mbili, kwa masheha na madiwani hao juu ya
kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria, yaliofanyika Kituo cha Huduma za
Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, (Picha
na Haji Nassor, Pemba).
MKUU wa wilaya ya Mkoani Hemed Suleiman
Abdalla, akifungua mafunzo ya siku mbili, kwa msheha na madiwani wa wilaya
hiyo, yalioandaliwa na kufanyika Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi
la Pemba, mjini Chakechake, (Picha na
Haji Nassor, Pemba).
MRATIBU wa Kituo cha Huduma za Sheria
Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed, akiwasilisha mada juu ya dhana
ya wasaidizi wa sheria, mbele ya masheha na madiwani wa wilaya ya Mkoani,
mafunzo hayo yalifanyika ZLSC mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MWANASHERIA kutoka afisi ya Mkuu wa
Mkoa wa kusini Pemba Matar Zahoro akiwasilisha sheria ya tawala za mikoa kwa
masheha na madiwani wa wilaya ya Mkoani, mafunzo yaliofanyika Kituo cha Huduma
za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba juu ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa
sheria, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment