Afisa Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar Mohammed Nuhu akimkabidhi msaada wa Mabati Imamu wa Masjid Salama Maungani Zanzibar Sheikh, Hasaan Khamis Mselemu kwa ajili ya kuezekea Masjid hiyo. hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika katika viwanja vya Masjid hiyo huko Maungani Zanzibar.
Jengo jipya la Masjid Salama Maungani Zanzibar linahitaji Msaada wako kukamilisha ujenzi wake na kuanza kutoa huduma ya Ibada kwa Waumini ya Dini ya Kiislam. Zanzibar.
Mjumbe wa Kamati ya Ujenzi wa Masjid Salama Maungani Ali Uki akitowa maelezo ya ramani
ya ujenzi wa masjid huo kwa Maofisa wa PBZ walipofika kukabidhi msaada wa
mabati kwa ajili ya kuezekea hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya masjidi
hiyo maungani
No comments:
Post a Comment