Waziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe Rashid Ali Juma akiwa na Viongozi na Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Afrika Wanaosoma Kiswahili wakisimama wakati ukipigwa Wimbo wa Mataifa ya Afrika Mashariki wakati wa ufunguzi huo uliofanyika katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni Zanzibar.
SIMANJIRO WASHIRIKI KULIOMBEA TAIFA
-
Na Mwandishi wetu, Mirerani
Viongozi wa dini, wa Serikali, wanachama na wakereketwa wa CCM wa Wilaya ya
Simanjiro, Mkoani Manyara, wamefanya maombi ya k...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment