Habari za Punde

ZSTC Yatoa Ufafanuzi wa Mizani za Kupimia Karafuu Vituoni Kisiwani Pemba.

Afisa Mdhamini wa Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) Abdalla Ali Ussi, akitowa maelezo kwa Waandishi wa habari juu ya ufafanuzi wa mizani ya kupimia Karafuu katika kituo cha ununuzi karafuu cha mkoani, na kusema kwamba mezani hiyo ni nzima na wala haina matatizo.

Baadhi ya waandishi wa habari Kisiwani pemba, wakimsikiliza kwa makini mdhamini wa ZSTC Pemba, Abdalla Ali Ussi, akitowa ufafaunuzi wa mizani ya kupimia Karafuu huko katika kituo cha kununulia karafuu cha mkaoni

inayodaiwa ni mbovu, jambo ambalo sio kweli.( Picha na Bakar Mussa-Pemba.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.