LICHA ya Mvua kutokunyesha kwa kipindi kirefu
Kisiwani Pemba, lakini sio sababu ya Baraza la Mji Chake Chake kushindwa
kuzizoa takataka zilizoko katika Dampo la Machomanne, pichani takataka hizo
zikiwa zimetawanyika kwa kushindwa kuzoelewa zikiwa na zaidi ya mwezi mmoja
sasa.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WATUMISHI WA TCAA WASHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI 2024
-
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wameungana na
wafanyakazi wengine Duniani kushiriki katika maadhimisho ya siku ya
Wafanyakazi D...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment