Habari za Punde

Tiketi ya Meli ya Azam Sealink inapokuwa mali!



Wananchi mbali mbali Kisiwani Pemba, wakiwa katika harakati za ukataji wa Tiketi za Azam Sealink,huko katika maeneo ya Chake Chake , kumekuwa na hofu ya usafiri kwa wakati huu hivyo wananchi wana hofu wakakosa usafiri kwa vile Chombo cha Usafiri wa majini kwa sasa ni kimoja baada ya kutokuwepo kwa MV Mapinduzi 2 .


Picha  na Bakar Mussa -Pemba.

KUTOKUWEPO kwa meli ya Mv Mpinduzi II kwa zaidi ya siku 10 sasa, kumepelekea usumbufu mkubwa kwa abira wanaohitaji usafiri wa kwenda Unguja, kwa kutumia meli ya Mv Sealink pichani abiria wakiwa katika foleni kusubiri kununua tiketi za meli ya Jumapili, huku zaidi ya abiria 150 wakiachwa na meli hiyo kwa kuwa na tiketi zisizofanana majina yao katika vitambulisho vyao vya mzanzibari mkaazi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

1 comment:

  1. azam tena hizo tiketi zenu fanyeni watu wakate kwenyemtandao, sio kibiru tu mke wa mtu, mjane, mbakaji, barobaro wote hapo hapo, azzam kampuni kubwa

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.