Balozi Seif akitia mchanga katika kaburi la aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Maheremu Ferouz aliyezikwa katika Makaburi ya Mwanakwerekwe nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Moh’d Gharib Bilal akitia mchanga katika Kaburi la marehemu Saleh Ramadhan Ferouz hapo Mwanakwerekwe.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai akitia mchanga katika Kaburi la mtangulizi wake katika nafasi hiyo ya Chama Marehemu Saleh Ramadhan Ferouz KATIKA Makaburi ya Mwanakwerekwe.
Picha na – OMPR – ZNZ.
No comments:
Post a Comment