Habari za Punde

Rais wa Zanzibar Dk Shein, Afungua Kongamano la Wajasiriamali.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akisalimiana na Viongozi wakati alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Mnazi Mmoja Mjini Unguja,kuzindua Kongamano la Wajasiriamali sambamba na maonesho ya wajasiria mali wa vikundi mbali mbali na taasisi za Serikali  leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizindua Kongamano la Wajasiriamali  katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Mnazi Mmoja Mjini Unguja leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizindua Kongamano la Wajasiriamali   katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Mnazi Mmoja Mjini Unguja leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizindua Kongamano la Wajasiriamali  katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Mnazi Mmoja Mjini Unguja leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi zawadi Meneja wa Tawi la DTB hapa Zanzibar Mbarouk  Ramadhan Mbarouk katika hafla ya uzinduzi wa Kongamano la Wajasiriamali Zanzibar   katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Mnazi Mmoja Mjini Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi zawadi Ofisa wa Taasisi ya 'Mchele Z'bar Foundation' hapa Zanzibar Eshe Haji Ramadhan  katika hafla ya uzinduzi wa Kongamano la Wajasiriamali Zanzibar   katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Mnazi Mmoja Mjini Unguja. 
Mratibu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia Dkt.Afwa Mohamed akitoa hutuba fupi kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Sayansi na Teknolojia katika hafla ya uzinduzi wa Kongamano la Wajasiriamali Zanzibar   katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Mnazi Mmoja Mjini Unguja leo,ambalo lilizinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Baadhi ya Wajasiriamali wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizindua Kongamano la Wajasiriamali hao lililofanyika  katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Mnazi Mmoja Mjini Unguja leo
Baadhi ya Wajasiriamali wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizindua Kongamano la Wajasiriamali hao lililofanyika  katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Mnazi Mmoja Mjini Unguja leo.
 Baadhi ya mabanda ya maonesho ya Wajasiriamali katika viwanja vya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Mnazi Mmoja Mjini Unguja, ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alitembelea leo kabla ya kuzindua Kongamano la Wajasiriamali
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitembelea mabanda ya maonesho ya wajasiriamali wa Vikundi mbali mbali leo akiwa na Waziri wa Kazi Uwezeshaji,Wazee,Vijana,Wanawake na Watotio Mh,Moudline Cyrus Castico(kushoto) kabla ya kuzindua Kongamano la Wajasiriamali
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitembelea mabanda ya maonesho ya wajasiriamali wa Vikundi mbali mbali leo kabla ya kuzindua Kongamano la Wajasiriamali.
,[Picha na Ikulu.] 03/12/2016.​

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.