MKURUGENZI wa Jumuia ya Ustawishaji wa zao la karafuu na
viungo Pemba ‘JUKAVIPE’ Hassan Ali Bakar, akifungua mkutano ulioandaliwa na
jumuia hiyo, kwa mabaraza ya vijana ya wilaya ya Mkoani, juu ya kuelewa namna
ya migogoro inavyoweza kujitokeza ndani ya jamii, mkutano huo umefanyika skuli
ya Maendeleo ya Ngwachani, (Picha na
Haji Nassor, Pemba).
MTOA mada Ali Yussuf Ali akiwasilisha mada
juu ya dhana ya migogoro ndani ya jamii, kwenye mkutano uliowashirikisha
mabaraza ya vijana ya wilaya ya Mkoani, mkutano huo, umefanyika skuli ya
Maendeleo Ngwachani, uliotayarishwa na Jumuia ya wazalishaji na viungo Pemba,
JUKAVIPE’ (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WAJUMBE wa mabaraza ya vijana wa wilaya ya
Mkoani Pemba, wakisikiliza mada dhana ya migogoro iliowasilishwa kwenye mkutano,
uliotayarishwa na ‘JUKAVIPE’ ili kuyajengea uwezo mabaraza hayo, mkutano huo
umefanyika skuli ya Mendeleo ya Ngwachani, (Picha
na Haji Nassor, Pemba).
WAJUMBE wa mabaraza ya vijana wa wilaya ya
Mkoani Pemba, wakishiriki katika kazi za vikundi, kwenye mkutano wa kuyajengea
uwezo kwa mabara hayo, uliotayarishwa na ‘JUKAVIPE’ na kufanyika skuli ya
Mendeleo ya Ngwachani, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
AFISA vijana wilaya ya Chakechake Sara
Khamis Salim, akielezea athari za rushwa kwa vijana wanapotafuta kazi, kwenye
mkutano wa kuyajengea uwezo mabaraza ya vijana ya wilaya ya Mkoani, mkutano huo
umeandaliwa na JUKAVIPE na kufanyika skuli ya Maendeleo Ngwachani, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment