Habari za Punde

Matukio ya Picha Pemba.

Wafanyakazi wa Shirika la Umeme Kisiwani Pemba wakifanya zoezi la kuwasajili Wateja wa ZECO kisiwani Pemba wanaohitaji kuungiwa Umeme katika Kisiwa cha Fundo baada ya kisiwa hicho kufika kwa umeme kuwawezesha wananchi wa kisiwa hicho kupata huduma hiyo baada ya kukamilika kwa utandazaji wa laini za waya kwa ajili ya kutowa huduma kwa wananchi hao kuungiwa katika majumba yao.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.