Wafanyakazi wa Shirika la Umeme Kisiwani Pemba wakifanya zoezi la kuwasajili Wateja wa ZECO kisiwani Pemba wanaohitaji kuungiwa Umeme katika Kisiwa cha Fundo baada ya kisiwa hicho kufika kwa umeme kuwawezesha wananchi wa kisiwa hicho kupata huduma hiyo baada ya kukamilika kwa utandazaji wa laini za waya kwa ajili ya kutowa huduma kwa wananchi hao kuungiwa katika majumba yao.
MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA WATUMISHI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI
ITALIA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
akisalimiana na Watumishi mbalimbali wa Balozi wa Tanzania nchini Italia
wakati...
15 hours ago
No comments:
Post a Comment