Wafanyakazi wa Shirika la Umeme Kisiwani Pemba wakifanya zoezi la kuwasajili Wateja wa ZECO kisiwani Pemba wanaohitaji kuungiwa Umeme katika Kisiwa cha Fundo baada ya kisiwa hicho kufika kwa umeme kuwawezesha wananchi wa kisiwa hicho kupata huduma hiyo baada ya kukamilika kwa utandazaji wa laini za waya kwa ajili ya kutowa huduma kwa wananchi hao kuungiwa katika majumba yao.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment