Wafanyakazi wa Shirika la Umeme Kisiwani Pemba wakifanya zoezi la kuwasajili Wateja wa ZECO kisiwani Pemba wanaohitaji kuungiwa Umeme katika Kisiwa cha Fundo baada ya kisiwa hicho kufika kwa umeme kuwawezesha wananchi wa kisiwa hicho kupata huduma hiyo baada ya kukamilika kwa utandazaji wa laini za waya kwa ajili ya kutowa huduma kwa wananchi hao kuungiwa katika majumba yao.
RIDHIWANI AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAO FISA UGANI CHALINZE
-
Na Mwamvua Mwinyi,Pwani
Mbunge wa jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete amekabidhi pikipiki 6 kwa
Maafisa Ugani wa Halmashauri wa Halmashauri ya Chali...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment