Habari za Punde

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Majaliwa Aendelea na Ziara Yake na Kuwasalimia Wananchi wa Bashnet

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Bashnet wilayani Mbulu wakati aliposimama kijijini hapo akitoka Mbulu kwenda Hanang Februari 21, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.