Mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini Zanzibar Sheikh Salim Mohammed akizungumza na waandishi wa habari jinsi mmomonyoko wa maadili wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Mazsons Shangani Zanzibar
Viongozi wa Kamati hiyo wakifuatilia mkutano huo kuzungumzia kuzungumzia hali ya mmomonyoko wa maadili kwa vijana
Askofu wa Kanisa la Anglikana Mkunazini Zanzibar Askofu Micheal Hafidh akisisitija jambo wakati wa mkuta kuzungumzia maadili kwa vijana. Uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Mazsons shangani Zanzibar.
WATUMISHI WA UMMA KIBAHAWatumishi watakiwa kutunza heshima za taasisi zao.
-
Na.Mwashamba Haji Juma
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Bw. Eliakim Maswi, amewataka
watumishi wa umma kuhakikisha wanatunza, kulinda na kukuza...
51 minutes ago
No comments:
Post a Comment