Mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini Zanzibar Sheikh Salim Mohammed akizungumza na waandishi wa habari jinsi mmomonyoko wa maadili wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Mazsons Shangani Zanzibar
Viongozi wa Kamati hiyo wakifuatilia mkutano huo kuzungumzia kuzungumzia hali ya mmomonyoko wa maadili kwa vijana
Askofu wa Kanisa la Anglikana Mkunazini Zanzibar Askofu Micheal Hafidh akisisitija jambo wakati wa mkuta kuzungumzia maadili kwa vijana. Uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Mazsons shangani Zanzibar.
EXIM BANK YAENDELEA KUWAINUA KIUCHUMI WANAWAKE WAJASIRIAMALI KUPITIA MPANGO
WA WEP
-
Exim Bank, kupitia Mpango wake wa Kuwawezesha Kiuchumi Wanawake (WEP),
imetoa mafunzo kuhusu masuala ya ujasiriamali, biashara, na uwezeshaji kwa
wanawak...
20 minutes ago
No comments:
Post a Comment