BIDHAA
mbali mbali ambazo ni muhimu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, zikiwa tayari
zimeshanunuliwa na wachuuzi ndani ya mnada katika soko la Matunda Chake Chake,
zikisubiri kusafirishwa na kupelekwa Unguja.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA
DALALI
katika Mnada wa soko la Matunda Chake Chake aliyejulikana kwa jina la Khamis,
akionyesha maboga ambayo yananadiwa na fungu la maboga manne liliuzwa 15000/=.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
BIDHAA za ndizi aina ya Mkono Mmoja zikiwa
zimetundikwa katika soko la Matunda Chake Chake, Mkungu mmoja wa ndizi hizo
zinauzwa kati ya shilingi 40000/= hadi 35000/= na dole moja linauzwa kati ya
shilingi 2000/= hadi 1500/=.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA).
NDIZI aina
ya Alhasan ambayo imeuzwa shilingi 73000/= katika mnada wa soko la matunda
Chake Chake, ni miongoni mwa ndizi ambazo zimekuwa na bei katika wmezi mtukufu
wa Ramadhani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA).
No comments:
Post a Comment