WAJUMBE wa Bodi ya Mapato Zanzibar(ZRB)wakikagua
kiwanja cha ZRB kilichopo Gombani nje kidogo ya Mji wa Chake Chake, ambachi
wanatarajiwa kujengwa Ofisi ya ZRB Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WAJUMBE
wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) wakibadilishana mawazo baada ya kukagua eneo
ambalo wanataka kujenga ofisi ya ZRB Kisiwani Pemba huko katika uwanja wa
Gombani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA
MSAIDIZI Meneja wa ZRB Kisiwani Pemba, Ali Omar
akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya ZRB Mipaka ya Kiiwanja cha Ofisi hiyo, kilichopo
nje ya uwanja wa Michezo Gombani ambazo wanatarajia kujenga Ofisi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MENEJA wa ZRB Kisiwani Pemba Said Ali Mohamed,
akitoa maelezo ya Ofisi ya ZRB mkoani bandarini kwa wajumbe wa Bodi ya ZRB,
wakati walipofanya ziara ya siku mbili Kisiwnai Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MWENYEKITI wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB)Saleh Sadik
Osman, akizungumza na watendaji wa ZRB baada ya kumaliza kukagua ofisi ya bodi
hiyo bandarini Mkoani.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
MENEJA wa GAPCO Dipoti ya Mafuta Wesha
Kisiwani Pemba, Justice Mkubi akizungumza na wajumbe wa bodi ya Mapato Zanzibar
(ZRB) walipotembelea GAPCO hiyo kujuwa Uingizaji na utoaji wa mafuta.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MJUMBE Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Mauwa Abeid
Daftari, akichangia katika kikao cha pamoja na meneja wa GAPCO Dipoti Wesha,
wakati wa ziara ya siku mbili Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
KAMISHNA wa Bodi ya Mapato Zanzibar
(ZRB) Amour Hamil Bakar, akizungumza katika kikao cha Pamoja na Meneja wa GAPCO
Dipoti ya Wesha, wakati wa ziara ya Siku mbili kwa wajumbe wa bodi hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MJUMBE wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB)
Saleh Mbarouk, akizungumza katika kikao cha pamoja na meneja wa GAPCO Dipoti ya
Wesha, wakati wa ziara ya siku mbili ya wajumbe hao.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment