Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mwigulu Nchemba akiwasilisha makadirio ya Bajeti yake kwa mwaka 2017/2018
ambapo aliliomba Bunge liidhinishe Bajeti ya jumla ya Shilingi 930,396,817,000 wakati wa kikao cha
Bunge la Bajeti,mjini Dodoma.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mwigulu Nchemba,
akijibu maswali yaliyoelekezwa kwa wizara yake wakati wa kipindi cha
maswali yaliyoulizwa na Wabunge wakati wa Bunge la Bajeti mjini Dodoma. Kulia ni Naibu
Waziri wa wizara hiyo,Mhandisi Hamad Masauni
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi
Hamad Masauni, akijibu maswali yaliyoelekezwa kwa wizara yake wakati wa kipindi cha
maswali yaliyoulizwa na Wabunge wakati wa Bunge la Bajeti mjini Dodoma. Kushotoni Waziri wa wizara hiyo, Mwigulu Nchemba
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo
ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira, akizungumza na makamanda wa Jeshi la
Polisi muda mfupi kabla ya kuanza kwa kikao cha Bunge la
Bajeti ambapo wizara yake iliomba Bunge liidhinishe Bajeti ya jumla ya Shilingi 930,396,817,000
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akifurahia na baadhi ya wabunge mara baada ya kumaliza kuwasilisha makadirio ya Bajeti yake kwa mwaka
2017/2018 ambapo aliliomba Bunge liidhinishe Bajeti ya jumla ya Shilingi
930,396,817,000 wakati wa kikao cha Bunge la Bajeti, mjini Dodoma.
PichanaWizaraya
Mambo yaNdaniyaNchi
IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-WIZARA YA
MAMBO YA NDANI YA NCHI
No comments:
Post a Comment