Baadhi ya wafanyakaziwa
Zantel wakijumuika katika tafrija ya futari maalumu kwa ajili yao katika kipindi hiki cha
mfungo Mtukufu wa Ramadhani. Tafrija hiyo ilifanyika jana jijini Dar es Salaam.
MkurugenziMkuuwa Zantel,Benoit
Janin(wa kwanza ushoto)akifurahiajambonabaadhiyaviongoziwaKampunihiyowakatiwatafrijayafutariiliyoandaliwanaZantelkwaajiliyawafanyakazinawadaumbalimbalikatikakipindihiki
cha mfungoMtukufuwaRamadhani. Tafrijahiyoilifanyikajanajijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Benoit
Janin akizungumza wakati wa tafrija ya futari maalumu iliyoandaliwa na Kampuni hiyo kwa ajili ya wafanyakazi na wadau mbali mbali katika kipindi hiki
cha mfungo Mtukufu wa Ramadhani. Tafrija hiyo ilifanyika jana jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha
Rasilimali Watu Zantel Joanitha Mrengo akizungumza wakati wa tafrija ya futari maalumu iliyoandaliwa na Kampuni hiyo kwa ajili ya wafanyakazi na wadau mbali mbali katika kipindi hiki
cha mfungo Mtukufu wa Ramadhani. Tafrija hiyo ilifanyika jana jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment