Wananchi katika Wilaya ya Chakechake Kisiwani Pemba wanaiomba taasisi husiku kulivunja jengo hili lililojengwa na mkandarasi likiwa chini ya kiwango cha ujenzi wake na kutokea hitilafu za kupasuka kuta zake kabla ya ujenzi kumalizika na mkandarasi husika kuingia miti. SWanaomba kuchukuliwa hatu za kulivunja jengo hilo kuepusha kuleta athari zaidi katika eneo hilo. (Picha na Haji Nassor, Pemba).
Tuzo : NCAA Yajivunia Tuzo ya Kimataifa
-
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Bw.
Abdul-Razaq Badru kupitia mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika jijini
Ar...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment