Wananchi katika Wilaya ya Chakechake Kisiwani Pemba wanaiomba taasisi husiku kulivunja jengo hili lililojengwa na mkandarasi likiwa chini ya kiwango cha ujenzi wake na kutokea hitilafu za kupasuka kuta zake kabla ya ujenzi kumalizika na mkandarasi husika kuingia miti. SWanaomba kuchukuliwa hatu za kulivunja jengo hilo kuepusha kuleta athari zaidi katika eneo hilo. (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WAWEKEZAJI WA CHINA, UWT WAJADILI KUHUSU NISHATI SAFI
-
Na MWANDISHI WETU
WAWEKEZAJI kutoka China wamekutana na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na
kujadiliana kuhusu uwekezaji hususan katika uzalishaji wa Nis...
51 minutes ago
No comments:
Post a Comment