Mwenyekiti Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar, Jaji
Mshibe Ali Bakar, akizungumza kwenye mkutano wa kuwasilisha rasimu za sheria za
usajili wa nyaraka, uharibifu wa mazao na urithi wa ardhi endelevu, kwa masheha
wa Mkoa wa kaskazini Pemba, uliofanyika ofisi ya Mkuu wa mkoa huo
Mwanasheria kutoka Tume ya kurekebisha sheria
Zanzibar Mwita Khamis Haji, akiwasilisha rasimu za sheria za usajili wa nyaraka
na urithi endelevu wa ardhi, mbele ya masheha wa Mkoa wa kaskazini Pemba,
wakati tume hiyo chini ya Mwenyekiti wake Jaji Mshibe Ali Bakari, ilipokutana
nao ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo mjini Wete.
Masheha wa
shehia za Wete na Micheweni mkoa wa kaskazini Pemba, wakijadili rasimu za
sheria za uharibifu wa mazao, usajili wa nyaraka na urithi wa ardhi endelevu,
wakati Tume ya kurekebisha sheria, ilipokutananao kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa
huo, kuzijadili sheria hizo.(Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment