Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni,Mhandisi Hamad
Masauni (watatu kushoto), akizungumza na Mratibu wa Umoja wa Mataifa (UN) nchini, Alvaro Rodriges (kushoto), alipotembelea Mradi wa Maji Kikwajuni uliozinduliwa na Rais wa Zanzibar, Dk.
Ali Mohamed Shein miaka miwili iliyopita ikiwa ni juhudi za Mbunge huyo kushirikisha wadau katika kuhudumia na kutatua kero mbali mbali za wananchi wa jimbo hilo.
Kulia ni Mkurugenzi Uzalishaji Maji wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA), Mhandisi Mohamed Elyas. na anayefuata ni Katibu wa taasisi ya vijana ya Tanzania Youth Icon (TAYI),
Abdallah Ahmed Suleiman
Katibu wa taasisi ya vijana ya Tanzania Youth Icon (TAYI),
Abdallah Ahmed Suleiman akimuonyesha Mratibu wa Umoja wa Mataifa (UN) nchini, Alvaro Rodrigues (wa kwanza kushoto),ramani ya mpango wa uboreshaji huduma ya maji katika jimbo la
Kikwajuni. Mratibu huyo amefika jimboni hapo ikiwa ni juhudi za Mbunge wa Jimbo hilo, Mhandisi
Hamad Masauni (wa tatu kushoto)katika juhudi zake za kutatua changa moto za huduma ya maji kwa wananchi
Mkurugenzi Uzalishaji Maji wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA),
Mhandisi Mohamed Elyas, akitoa maelezo ya Mradi wa Maji Kikwajuni kwa Mratibu wa Umoja wa Mataifa (UN) nchini,
Alvaro Rodrigues alipotembelea mradi huo uliopo katika jimbo la Kikwajuni,Zanzibar
MratibuwaUmojawaMataifa(UN)nchini, Alvaro Rodrigues,
akiangaliamojayamabombayanayotumikakusafirishamajikwendakwenyemaeneombalimbalijimboniKikwajuniikiwanisehemuyaushirikianonaMbungewaJimbohilo,Mhandisi
Hamad Masauni() katikakuhakikishaanamalizatatizo la upungufuwamajijimbonihapo
Mbunge wa Jimbo la
Kikwajuni, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na Mkurugenzi Uzalishaji Maji wa Mamlaka ya Maji
Zanzibar (ZAWA), Mhandisi Mohamed Elyas (kulia) wakati wakiondoka baada ya kumuongoza Mratibu wa Umoja wa Mataifa (UN) nchini,
Alvaro Rodriguez (kulia),
kutembelea Mradi wa Maji wa Kikwajuni ikiwa ni sehemu ya ushirikiano na wadau katika kuhakikisha anamaliza tatizo
la upungufu wa maji jimboni. PichanaAbubakariAkida
No comments:
Post a Comment