MWENYEKITI
wa Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar Jaji Msibe Ali Bakari akizungdua kitabu cha Ripoti ya Haki za Binadamu Zanzibar ya mwaka 2016, iliozinduliwa katika
ukumbi wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar.
MGENI Rasmin katika hafla ya Uzinduzi wa Ripoti ya Haki za
Binadamu Zanzibar Mhe. Jaji Msibe Ali Bakari akionesha kitabu cha Ripoti hiyo baada ya kukizindua
katika ukumbi wa Kituo hicho akiwa na Viongozi wa meza kuu.
MKURUGENZI
wa Mashtaka Zanzibar Mhe Ibrahim Mzee akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Ripoti
ya Haki za Binaadamu Zanzibar kwa mwaka 2016, akiongoza mjadala huo uliofanyika katika ukumbi wa
Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar .
BAADHI ya Washiriki wa hafla ya Uzinduzi wa Ripoti ya Haki
za Binadamu Zanzibar wakifuatilia mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa
Kituo cha Huduma za Sheria kijangwani Zanzibar.
AFISA
Mipango wa ZLSC akiwasilisha Ripoti ya
Haki za Binadamu kwa wajumbe wa mkutano huo baada ya kuzinduliwa rasmin na
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar Jaji Msibe Ali Bakari, hafla
hiyo imefanyika katika Kituo cha Huduma za Sheria Kijangwani Zanzibar
WASHIRIKI
wa Mkutano wa Uzinduzi wa Ripoti ya Haki za Binadamu Zanzibar ya mwaka 2016
wakisoma ripoti hiyo baada ya uzinduzi wake uliofanyika katika kituo hicho
kijangwani.
No comments:
Post a Comment