Habari za Punde

Kilimo cha kibiashara kinavyozidi kushamiri, Mjasiriamali Mkubwa Ali Mkubwa asema sasa hathamini kazi nyengine


 SHAMBA la mboga mboga mchanganyiko linalomilikiwa na mjasiriamali Mkubwa Ali Mkubwa, mkaazi wa Vitongoji wilaya ya Chakechake kisiwani Pemba, ambapo alianza na mtaji wa shilingi 500,000 na tayari ameshapata mapato yake zaidi ya mara nne ya fedha hizo, kwa muda wa miaka mitano sasa, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MJASIRIAMALI wa kilimo cha mboga mboga Mkubwa Ali Mkubwa mkaazi wa Vitongoji wilaya ya Chakechake, akiwa na wafanyakazi wake aliowaajiri kwenye shamba lake lilioko Makaani, wakifanya usafi kwenye shamba la mitungule, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MJASIRIAMALI wa kilimo cha mboga mboga Mkubwa Ali Mkubwa mkaazi wa Vitongoji wilaya ya Chakechake, akiwa na wafanyakazi wake aliowaajiri kwenye shamba lake lilioko Makaani, wakifanya usafi kwenye shamba la mitungule, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MJASIRIAMALI wa kilimo cha mboga mboga Mkubwa Ali Mkubwa, mkaazi wa Vitongoji wilaya ya Chakechake akiwa anajitayarisha kupandisha maji kwa kutumia mashine, kwenye mapipa kutoka kwenye kisima chake, kwa kumwagilia mboga mboga , mjasiriamali huyo analalamikia kukosa kutembelewa na viongozi wa serikali na hajuwi taasisi zinazotoa mikopo isio na riba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

 Mjasiriamali Mkubwa Ali Mkubwa, mkaazi wa Vitongoji wilaya ya Chakechake kisiwani Pemba, ambapo kwa sasa mjasiriamali huyo, anasema hathamini kazi nyengine, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 SHAMBA la zao la kitunguu maji linalomilikiwa na mjasiriamali Mkubwa Ali Mkubwa, mkaazi wa Vitongoji wilaya ya Chakechake kisiwani Pemba, ambapo kwa sasa mjasiriamali huyo, anasema hathamini kazi nyengine, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MJASIRIAMALI wa kilimo cha mboga mboga Mkubwa Ali Mkubwa mkaazi wa Vitongoji wilaya ya Chakechake, akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbali mbali waliofika kwenye shamba lake kuzungumza nae, ambapo analalamikia kukosa kutembelewa na viongozi mbali mbali, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MIDIMU inayomilikiwa na mjasiriamali wa kilimo cha mboga mboga Mkubwa Ali Mkubwa, mkaazi wa Vitongoji wilaya ya Chakechake, ikiwa tayari kuvunwa, ingawa shaka yake ni kukosa wateja na huwenda akapoteza wastani wa shilingi 600,000, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.