Sheha wa
shehia ya Konde wilaya ya Wete Pemba Abdalla Omar, akifungua mkutano wa wazi wa
uhamasishwaji usomaji wa Katiba, ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria
Zanzibar ZLSC tawi la Pemba na kufanyika skuli ya msingi Konde,
WANANCHI wa
rika tofauti wa shehia ya Konde wilaya ya Wete kisiwani Pemba, wakifuatilia
mkutano wa wazi wa uhamasishwaji usomaji wa Katiba, ulioandaliwa na Kituo cha
Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika skuli ya msingi ya
Konde
WANANCHI wa
rika tofauti wa shehia ya Konde wilaya ya Wete kisiwani Pemba, wakifuatilia
mkutano wa wazi wa uhamasishwaji usomaji wa Katiba, ulioandaliwa na Kituo cha
Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika skuli ya msingi ya
Konde
WANANCHI wa
rika tofauti wa shehia ya Konde wilaya ya Wetw kisiwani Pemba, wakifuatilia
mkutano wa wazi wa uhamasishwaji usomaji wa Katiba, ulioandaliwa na Kituo cha
Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika skuli ya msingi ya
Konde
Mratibu wa
Kituo cha Huduma Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed,
akiwaeleza wananchi wa shehia ya Konde, historia ya Katiba ya Zanzibar, kwenye
mkutano wa wazi wa uhamasishwaji usomaji wa Katiba, ulioandaliwa na Kituo
hicho, na kufanyika skuli ya msingi ya Konde
AFISA Mipango wa Kituo cha Huduma Sheria Zanzibar
ZLSC tawi la Pemba, Mohamed Khamis Ali, akiwaeleza wananchi wa shehia ya Konde,
mambo ya msingi yaliomo kwenye Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, kwenye mkutano
wa wazi wa uhamasishwaji usomaji wa Katiba, ulioandaliwa na Kituo hicho, na
kufanyika skuli ya msingi ya Konde,
(Picha
na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment