Wananchi mbalimbali walifika bandarini Zanzibar kwenda kuitembelea meli ya Sultan wa Oman inayoitwa Fulk Al Salaam ambayo inazuru Zanzibar pamoja na baadhi ya Mawaziri wa Serikli ya Oman.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment