Wananchi mbalimbali walifika bandarini Zanzibar kwenda kuitembelea meli ya Sultan wa Oman inayoitwa Fulk Al Salaam ambayo inazuru Zanzibar pamoja na baadhi ya Mawaziri wa Serikli ya Oman.
KADA WA CCM AMIRI MKUFYA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA MLALO
-
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa Amiri Mkufya maarufu kama AMESCO, ni
miongoni mwa watia nia Jimbo la Mlalo, ambaye naye amechukua fomu kwa ajili
y...
20 minutes ago
No comments:
Post a Comment