Imeandikwa na Rais wa Taifa
la Palestina, Mhe.Mahmuud Abbas
Waingereza wengi hawamjui
“Sir.Arthur James Balfour”ambaealiwahikuwaWaziriMkuumwanzonimwakarneyaishirini,lakinijina
lake nimaarufusanakwaWapalestinawapataomilionikuminambili. Katikakumbukumbuyaazimio
la Balfour,serikaliyaUingerezainalazimikakutumiafursahiyoilikurekebishamakosayakihistoriailiyoyafanyadhidiyawananchiwetuwaPalestina.
MnamoNovemba
2,1917 akiwaofisinikwakemjini London,“Sir.Arthur James Balfour”alisainibaruaakiliahidishirika
la kizayuni,kuanzishataifalaondaniyaardhiyaPalestina.
Ameahidikutoaardhihiyowakatisioyake,hukuakifumbia macho hakizakisiasazaWapalestinawalioishikatikaardhihiyokwamiakamingi.
KwaWapalestinaambaoniraiawangu, matukioyaliyosababishwanabaruahiiyamekuwanauharibifumkubwa,
hukupiayakiachamadharayamudamrefukwawananchiwetu.
Sera
yaUingerezailiyoungamkonouhamajiwaWayahudikwendaPalestina, ikiwanimbadalawakukataakwaohakiyaKiarabuyaPalestinayakujipangiamustakabaliwao,
sera hiyoimeletamvutanomkalikatiyawahamiajiwaKiyahudiwaUlayanawakaziwaasiliwaKipalestina.Palestinailiyokuwaajendayamwishoyakumalizaukoloni,inasumbukakamatunavyosumbukawananchi
wake kutafutahakiyetuisiyobadilikakatikakujipangiamustakabali,jamboambalonijangakubwamnokushuhudiwanahistoriayasasa.
Mnamomwaka
1948, wanajeshiwakizayuniwaliwafukuzakwamabavukutokakatikamijiyao,watuwanaofikiamilionimojawakiwemowanawakenawatoto,hukuwakifanyamauajiyakutishanakubomoakabisavijijikadhaa.WakatitulipofukuzwakwamabavukutokamjiwaSafad,
umriwanguulikuwamiakakuminatatu, wakati Israel ikisherehekeakuasisitaifa lake,
sisiWapalestinatunakumbukasikuyagizazaidikatikahistoriayetu.
Azimio la
“Balfour”kwahakikasiotukio la
kusahaulika,kwaniwananchiwanguleowanaofikiazaidiyamilionikuminambiliwamesambaadunianikote,baadhiyaowakilazimishwakwanguvukuachamijiyaomnamomwaka
1948,hukuzaidiyaWapalestinamilionisitabadowanaishiuhamishonihadileohii,
waliosaliakatikamijiyaonimilioni(1.75) ilawaowanaishichiniyamfumowakibaguziuliopangikanchini
Israel.
Aidha,Wapalestinazaidiyamilioni
(2.9) wanaishiUkingowaMagharibiwakiwachiniyauvamiziwakijeshinawakinyamauliogeukakuwaniukoloni.Miongonimwaowapowakaziwa
Jerusalemambaoniwaasilikabisawapataolakitatu (300,000),badowanapambananasera zakivamiziza
Israel zinazowahamishakwanguvukutokakatikamjiwao.HukuwapalestinawenginewapataomilionimbiliwapokatikaUkandawa
Gaza, ambayonigereza la wazilinaloharibiwamarakwamaranavifaavyajeshi la Israel.
Azimio la
“Balfour” kwahakikasiomnasabawakusherehekea,hasakatikawakatiambaobadoupandemmojaunadhulumiwanaunapatadhikikwasababuyaazimiohilo,
kuasisiwakwataifa la watufulani,kumepelekeakufukuzwakwawatuwenginenakuendeleakukandamizwa,
haiwezekanikulinganishakatiyamvamizinataifalinalokaliwakimabavu. Ni
lazimakulisawazishakosahiliambaloUingerezainabebajukumukubwanainalazimusherehehizozifanywekatikasikuambayo,
wakaziwotewaardhihiiwakiwakatikauhuru,heshimanausawa.
Tukio la
kusainiazimio la “Balfour”, limeshatokeanahalibadilikilakininijamboambaloyapasakurekebishwa,jambohililinahitajiunyenyekevu,ushujaa,kukubaliyaliyopita,kukirimakosanakuchukuwahatuastahikizakurekebishamakosahayo.
Namikatikamtiririkohuu,ninapongezaushujaawawananchiwaUingerezawanaoitakaserikaliyaokuchukuahatuakamahizizifuatazo:
Wabunge 274 wamepigakurayakulitambuataifa la Palestina,wakatimaelfuyawananchiwakiitakaserikaliyaokuombaradhikwaazimio
la Balfour,hukumakundikadhaanaasasizakiraiazikiandamanakuungamkonohakizataifaletubilausumbufuwowote.
Pamojanamatesotuliyokumbananayokarneiliyopita,badowananchiwaPalestinawamesimamakidete,kwanisisiniwananchitunaojifaharishakwaurithi
wake mwingi,ustaarabu wake mkongwenakwakutambuayakwambaPalestinandiochimbuko la
dinitatuzambinguni.Ukweliwa
mambo,tumezoeakwamiakamingikuishinamatukioyaliyotuzunguka,ambayoyamesababishwanamtiririkowamatukioyaliyoanzamwaka1917,
tukafikiamakubalianomachungukwaajiliyakufikiaamani,
kuanziakukubalikuasisiwataifa la Palestinakwaasilimia 22%
tuyaardhiyakihistoria,kulitambuataifa la Israel
bilayasisikutambuliwahadileohii.
Tukawanamsimamowaufumbuziwadolambilikwamudawamiakathelathiniiliyopita,msimamoambaoutekelezaji
wake umekuwahauwezekanipamojanamudakupita. Hivyobasi, mudawakuwa Israel
inaendeleakupatakinganamisaadakutokajamiizakimataifa,badalayakuichukuliahatuakwaukiukaji
wake unaoendeleadhidiyamisingiyasheriazakimataifa, jambohilohalitaihamasishakuachauvamizi
wake nalazimahuuutakuwanimtazamodhaifu.
Inapasakwa
Israel namarafikizakekutambuavizurikuwa,ufumbuziwakuwepodolambiliunawezakwishakabisa,isipokuwataifa
la Palestinalitabakihapanakuendeleanajuhudizakeilikurudishauhuru wake, iwekupitiaufumbuziwadolambili
au mapambanokwaajiliyakujipatiahakisawakwakilamkaziwaPalestinayakihistoria.
MudaumefikasasakwaserikaliyaUingerezakuchukuanafasiyake,kwanikuchukuahatuastahikikunalengakumalizauvamizikwamujibuwasheriazakimataifanamaazimioyake,likiwemoazimio
la hivikaribuni la Baraza la Usalamanamba 2334 nakulitambuataifa la
Palestinakwamujibuwamipakayamwaka 1967,lenyemjimkuu wake Jerusalem yaMashariki.
Kufanyahivyo,
kutapelekambeleupatikanajiwahakizakisiasazawananchiwaPalestina,kuondoadhulmakwawananchihaonausawawahakizakezakisheria,bilashakautachangiakupatikanaamaniiliyosawayauadilifunayakudumukatikaMasharikiya
Kati kwaWapalestina,waisraelnamataifamengineyaeneohusika.
Mahmoud
Abbas, Raiswataifa la PalestinanaMwenyekitiwaKamatiyautendajiya P.L.O.
No comments:
Post a Comment