Habari za Punde

Jumuiko la Mabadiliko ya Tabianchi Zanzibar (ZACCA) latoa msaada wa masanduku ya Nyuki kwa wakaazi wa Wambaa

 BAADHI ya Masanduku ya kufugia nyuki yaliyotolewa na Jumuiko la Mabadiliko ya Tabianchi Zanzibar (ZACCA), kwa wananchi wa Wambaa  na Mgelema, kwa lengo la kuhifadhi misitu ya mikandaa na kuzuwia uharibifu wa mazingira kwa ukataji wa miti.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).
 MKURUGENZI wa Idara ya Misitu na Mali zisizorejesheka Zanzibar, Soud Juma Mohamed akizungumza na wananchi wa kwaazini Wambaa Wilaya ya Mkoani, wakati alipokuwa akikabidhi masanduku ya kufugia nyuki yaliyotolewa na Jumuiko la Mabadiliko ya Tabianchi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).
MKURUGENZI wa Idara ya Misitu na Mali zisizorejesheka Zanzibar, Soud Juma Mohamed akikmabidhi sheha wa shehia ya Wambaa Mohamed Suleiman, masanduku ya kufugia nyuki kwa vikundi viwili vinavyohifadhi mazingira katika shehia hiyo, yaliyotolewa na Jumuiko la Mabadiliko ya Tabianchi Zanzibar (ZACCA).(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.