Katibu Mkuu wa Kamisheni ya wakfu na mali ya amana, Sheikh Abdullah Talib, akiwa pamoja na Mhadhiri wa SUZA, Dk Issa Ziddy pamoja na Mufti mkuu wa Zanzibar, Sheikh Saleh Kabi katika kongamano la uzinduzi wa Hijja lililofanyika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni. Kongamano limeandaliwa na PBZ kitengo cha Islamic Banking
Baadhi ya washiriki wakisikiliza kwa makini michango iliyokuwa ikitolewa katika kongamano la uzinduzi wa Hijja lililofanyika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni. Kongamano limeandaliwa na PBZ kitengo cha Islamic Banking
Sheikh Mohammed Suleiman ( Hibry) nae akichangia wakati wa kongamano la uzinduzi wa Hijja lililofanyika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni. Kongamano limeandaliwa na PBZ kitengo cha Islamic Banking
Sheikh Ahmed Hadar Jabir akichangia wakati wa kongamano la uzinduzi wa Hijja lililofanyika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni. Kongamano limeandaliwa na PBZ kitengo cha Islamic Banking
Sheikh Khalid Mohammed kutoka kamisheni ya wakfu na mali ya Amana akichangia akichangia wakati wa kongamano la uzinduzi wa Hijja lililofanyika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni. Kongamano limeandaliwa na PBZ kitengo cha Islamic Banking
Baadhi ya washiriki wakisikiliza kwa makini michango iliyokuwa ikitolewa katika kongamano la uzinduzi wa Hijja lililofanyika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni. Kongamano limeandaliwa na PBZ kitengo cha Islamic Banking
Sheikh Ali Hemed Jabir (Aliyaaan) ane akichangia wakati wa kongamano la uzinduzi wa Hijja lililofanyika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni. Kongamano limeandaliwa na PBZ kitengo cha Islamic Banking
Picha zote na Martin Kabemba
Picha zote na Martin Kabemba
No comments:
Post a Comment