Mkurugenzi Mtendaji wa Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar, Shaban Seif Mohamed
(katikati) akiangalia ramani baada ya kuwasili katika eneo la ujenzi wa nyumba
za kukabiliana na maafa Kisiwani Pemba, huko Chwaka Tumbe Wilaya ya Micheweni.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar, Shaban Seif Mohamed
(katikati) akitoa maelekezo kwa watu wa upimaji baada ya kukagua ramani ya eneo
la ujenzi wa nyumba za kukabiliana na maafa Kisiwani Pemba, huko Chwaka Tumbe
Wilaya ya Micheweni(Picha na Abdi Suleiman - Pemba.)
No comments:
Post a Comment