MKURUGENZI Mtendaji wa
Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar, Shaban Seif Mohamed (katikati)
akitoa maelekezo kwa watu wa upimaji baada ya kukagua ramani ya eneo la ujenzi
wa nyumba za kukabiliana na maafa Kisiwani Pemba, huko Chwaka Tumbe Wilaya ya
Micheweni.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA)
MKURUGENZI Mtendaji wa
Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar, Shaban Seif Mohamed (katikati)
akiangalia ramani baada ya kuwasili katika eneo la ujenzi wa nyumba za
kukabiliana na maafa Kisiwani Pemba, huko Chwaka Tumbe Wilaya ya Micheweni..(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment