WASANII
wa fani mbali mbali, ikiwemo maigizo, waimbaji, uchoraji na maafisa utamaduni
Wilaya nne za Pemba, wakimsikiliza kwa makini Waziri wa habari Utalii,
Utamaduni na Michezo Zanzibar, Rashid Ali Juma wakati alipokuwa akizungumza nao
katika ukumbi wa uwanja wa Gombani chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).
WAZIRI
wa Habari Utalii, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Rashid Ali Juma, akizungumza
na wasanii mbali mbali Kisiwani Pemba,ikiwa ni ziara yake ya kusikiliza
changamoto zinazowakabili wasanii wa Pemba, kikao kilichofanyika katika uwanja
wa michezo Gombani Chake Chake.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN,PEMBA).
WAZIRI
wa Habari Utalii, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Rashid Ali Juma, akizungumza
na wasanii mbali mbali Kisiwani Pemba,ikiwa ni ziara yake ya kusikiliza
changamoto zinazowakabili wasanii wa Pemba, kikao kilichofanyika katika uwanja
wa michezo Gombani Chake Chake.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN,PEMBA).
WASANII wa fani mbali mbali, ikiwemo maigizo, waimbaji, uchoraji na maafisa utamaduni Wilaya nne za Pemba, wakimsikiliza kwa makini Waziri wa habari Utalii, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Rashid Ali Juma wakati alipokuwa akizungumza nao katika ukumbi wa uwanja wa Gombani chake Chake Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).
MSANII
Mkongwe Kisiwani Pemba Khamis Nyange Makame (Profesa gogo) akichangia katika
kikao cha wasanii kilichoandaliw ana Wizara ya habari Utalii, Utamaduni na
Michezo Zanzibar, juu ya kuendeleza utamaduni wa mzanzibari.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA).
No comments:
Post a Comment