Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (wa tatu kushoto) na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Japhet Hasunga (kushoto) wakiongoza maandamano ya kuadhimisha siku ya Wanyamapori Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma juzi. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo mwaka huu ni “Wanyamapori jamii ya Paka wamo hatarini kutoweka- TUWALINDE”. (Picha na Hamza Temba-WMU).
DC LUDEWA AFANYA KISOMO KUMWOMBEA RAIS DKT. SAMIA
-
Na. Damian Kunambi, Njombe
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva akiambatana na Mkurugenzi wa
Halamashauri, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamo...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment