Habari za Punde

Wakaguzi wa Serikali Kisiwani Pemba Wapata Mafunzo ya Wiki Moja.

AFISA mdhamini Wizara ya Fedha na Mipango Pemba, Ibrahim Saleh Juma akizungumza katika kikao cha wakaguzi wa ndani wa taasisi mbali mbali za Serikali Kisiwani Pemba, wakati wa mafunzo ya wiki moja yaliyofanyika mjini Chake Chake
MKAGUZI mkuu wa hesabu za Serikali Rashid Mohamed Kassim katikati, akizungumza na wakaguzi wa ndani wa taasisi mbali mbali za Serikali, wakati wa mafunzo ya wiki moja yaliyofanyika mjini Chake Chake
 MKUFUNZI wa masuala ya uandikaji wa ripoti kwa wakaguzi wa ndani kutoka taasisi za Serikali Kisipiwani Pemba, Habibu Ussi Hamad akifuatilia kazi za vikundi kwa wakaguzi hao, wakati wa mafunzo ya wiki moja yaliyofanyika mjini Chake Chake
WAKAGUZI wa ndani wa taasisi za Serikali Kisiwani Pemba, wakiwa katika kazi za vikundi, wakati wa mafunzo ya wiki moja yaliyofanyika mjini Chake Chake

WAKAGUZI wa ndani kutoka taasisi mbali mbali za Serikali Pemba, wakimsikiliza kwa makini Makaguzi mkuu wa Serikali, Rashid Mohamed Kassim, wakati akifunga mafunzo ya wiki moja kwa wakaguzi yaliyofanyika mjini Chake Chake

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.