Habari za Punde

Balozi wa China nchini atembelea hospitali ya Abdalla Mzee


BALOZI wa China nchini Tanzania Wang Ke, akikagua baadhi ya maeneo ya Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani, wakati alipotembelea Hospitali hiyo katika ziara yake Kisiwani Pemba.(PICHA NA HABIBA ZARALI, PEMBA)
 BALOZI wa China Nchini Tanzania Wang Ke, akimuangalia mmoja ya watoto waliofika katika sehemu ya mapokezi ya watoto kwa ajili ya kupata matibabu, katika Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani katika ziara yake Kisiwani Pemba.(PICHA NA HABIBA ZARALI, PEMBA)
 BALOZI wa China Nchini Tanzania Wang Ke, akimuangalia Mtoto Harithi Suleiman Hamad mwenye umri wa mwaka mmoja, aliyeathirika Mfupa wa mguu, ambapo kwa sasa mtoto huyo yuko katika hali ya uwangalizi wa madaktari wa kichina na wazalendo.(PICHA NA HABIBA ZARALI, PEMBA)
 BALOZI wa China Nchini Tanzania Wang Ke, akupata maelezo kutoka kwa mkuu wa CT Scan Muhsin Aley, wakati alipotembelea kitengo mashine hizo wakati wa ziara yake ya siku moja Kisiwani Pemba.(PICHA NA HABIBA ZARALI, PEMBA)

BALOZI wa China Nchini Tanzania Wang Ke, akiangalia picha zinazoonyesha uwepo wa dalili za maradhi ya Kichocho, baada ya kufanyika kwa utafiti wa maradhi hayo.(PICHA NA HABIBA ZARALI, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.