Habari za Punde

Benki ya NMB Tawi la Pemba Wajumuika na Wateja Wao katika Futari Maalum Waliowaanfdalia Katika Mwezi Huu Mtukufu wa Ramadhini Katika Hoteli ya Hifadhi Tibirinzi Pemba.

MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba,Mhe. Hemed Suleiman Abdalla, akizungumza na wateja wa Bank ya NMB Kisiwani Pemba, mara baada ya kumalizika kwa futari maalumu iliyoandaliwa na Bank hiyo mjini Chake Chake.
 MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, akichukua futari maalumu iliyoandaliwa na Bank ya NMB Tawi la Pemba, kwa wateja wake iliyofanyika mjini Chake Chake
 MENEJA wa NMB kanda ya Dar es Salam na Zanzibar Badru Iddi, akifungua Chupa ya Chai kuwawekea viongozi wa Serikali, wakiongoza na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla katikati, katika futari maalumu iliyoandaliwa na Bank ya NMB kwa wateja wake
WANANCHI mbali mbali Kisiwani Pemba, wakipata futari maalumu iliyoandaliwa na Bank ya NMB Tawi la Pemba, kwa wateja wake huko Chake Chake Pemba
WANANCHI mbali mbali Kisiwani Pemba, wakipata futari maalumu iliyoandaliwa na Bank ya NMB Tawi la Pemba, kwa wateja wake huko Chake Chake Pemba

MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, wakwanza kushoto akiwa na viongozi mbali mbali wa Bank hiyo wakipata futari maalumu iliyoandaliwa na uongozi wa Bank ya NMB Tawi la Pemba, kwa wateja wake Kisiwani Pemba na kufanyika mjini Chake Chake
WAFANYAKAZI wa NMB Kisiwani Pemba na Makao Makuu Tanzania bara, wakiungana na wananchi wa Kisiwa Cha Pemba katika Futari maalumu, iliyoandaliwa na Bank ya NMB Kisiwani Pemba

MENEJA wa Bank ya NMB Kisiwani Pemba Ahmed Nassor akitoa shukurani kwa wananchi na wateja wao waliohudhuria katika futari maalumu iliyoandaliwa na Bank hiyo Kisiwani Pemba
MENEJA wa NMB Kanda ya Dar es Salam Badru Iddi, akizungumzia mikakati yao kwa sasa katika kuimarisha huduma kwa wateja wao, mara baada ya kumalizika kwa futari maalumu iliyoandaliwa na Bank hiyo Chake Chake
WANANCHI mbali mbali Kisiwani Pemba wakifuatilia kwa makini hutuba ya Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba, Hemed Suleiman Abdalla mara baada ya kumalizika kwa futari maalumu iliyoandaliwa na Bank ya NMB kwa wateja wake na kufanyika Chake Chake
MKUU wa Kitengo cha wateja binafsi Bank ya NMB Omar Mtiga, akitoa taarifa fupi ya benk hiyo kwa wateja wao mara baada ya kumalizika kwa futari maalumu, iliyoandaliwa na Bank hiyo Kisiwani Pemba.
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla na viongozi mbali mbali wa Bank ya NMB Tanzania, wakiomba dua maalumu mara baada ya kumalizika kwa futari maalumu iliyoandaliwa na Bank hiyo kwa wateja wake Kisiwani Pemba
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, akiwa katika picha ya pamoja na watendaji mbali mbali wa Bank ya NMB Tanzania, mara baada ya kumalizika kwa futari maalumu iliyoandaliwa na Bank hiyo kwa wateja wake Kisiwani Pemba

WAFANYAKAZI wa Bank ya NMB Kisiwani Pemba, wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wao kutoka Makao Mkuu YA NMB Tanzania, mara baada ya kumalizika kwa futari maalumu iliyoandaliwa na Bank hiyo kwa wateja wake Kisiwani Pemba.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.