Habari za Punde

MAKABIDHIANO YA WATENDAJI WA WIZARA MPYA PEMBA

OFISA mdhamini Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Pemba, Massoud Ali Mohamed, akitoa nasaha zake kwa Uongozi Mpya wa Wizara ya Vijana, Sanaa, Utamaduni na Michezo Pemba, wakati wa hafala ya makabidhiano ya watendaji kutoka wizara moja kwenda yengine, yaliyofanyika Gombani Chake Chake
Ofisa mdhamini Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto Pemba, Khadija Khamis Rajab, akisoma taarifa ya makabidhiano ya wafanyakazi wa idara ya vijana, ambao kwa sasa wamehamia katika wizara ya Vijana, Sanaa, Utamaduni na Michezo Pemba, hafla ya makabidhiano iliyofanyika katika uwanja wa Gombani Chake Chake
Ofisa mdhamini Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto Pemba, Khadija Khamis Rajab, akisoma taarifa ya makabidhiano ya wafanyakazi wa idara ya vijana, ambao kwa sasa wamehamia katika wizara ya Vijana, Sanaa, Utamaduni na Michezo Pemba, hafla ya makabidhiano iliyofanyika katika uwanja wa Gombani Chake Chake
OFISA mdhamini Wizara ya Vijana, Sanaa, Utamaduni na Michezo Pemba, Fatma Hamad Rajab akizungumza na watendaji wa idara mbali mbali za wizara hiyo, mara baada yan kukabidhiwa watendaji hao kutoka wizara tofauti za awali, hafla iliyofanyika katika uwanja wa michezo Gombani Chake Chake
OFISA mdhamini Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale Pemba, Khatib Juma Mjaja, akimkabidhi Sera ya Utamaduni na Michezo Ofisa Mdhamini Wizara ya Vijana, Sanaa, Utamaduni na Michezo Pemba, Fatma Hamad Rajab makabidhiano hayo yaliyofanyika katika uwanja wa Gombani Chake Chake.

MAAFISA wadhamini kutoka Wizara mbali mbali, wa kwanza kushoto Ofisa mdhamini Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Pemba, Massoud Ali Mohamed, wapili OFISA mdhamini Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale Pemba, Khatib Juma Mjaja, watatu OFISA mdhamini Wizara ya Vijana, Sanaa, Utamaduni na Michezo Pemba, Fatma Hamad Rajab na Ofisa mdhamini Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto Pemba, Khadija Khamis Rajab, wakiomba dua baadha kukabidhi watendaji kwa Wizara mpya ya Vijana.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.