Mratibu wa Miradi TAMWA Zanzibar Bi. Haura Shamke akifungua Majadiliano hayo ya kuzungumzia hali ya Udhalilishaji wa Wanawake na Watoto Zanzibar yalivyofikia, Mkutano huo umeandaliwa na Tamwa Zanzibar kupitia Mradi wake wa Udhalilishaji wa Wanawake na Watoto Zanzibar.Mkutano huo umewashirikisha Wanaharakati kutoka Mikoa ya Unguja Walimu wa Madrasa, Masheikh, Waandishi wa Habari na Wanaharakati Wanawake Zanzibar uliofanyika katika ukumbi wa Mtamwa Tunguu Zanzibar
VIKUNDI 49 VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI MBULU MJI KUPATA MIKOPO YA MILIONI 168
-
Na Mwandishi wetu, Mbulu
VIKUNDI 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa
Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya S...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment