Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Biashara na Viwanda katika mkutano wa utekelezaji wa malengo makuu ya mapango kazi wa mwaka 2017/18 na mpango kazi wa mwaka 2018-2019 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Baadhi ya Wakurugenzi wa idara mbali mbali katika Wizara ya Biashara na Viwanda wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara hiyo leo katika mkutano wa utekelezaji wa malengo makuu ya mapango kazi wa mwaka 2017/18 na mpango kazi wa mwaka 2018-2019 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Baadhi ya Wakurugenzi wa idara mbali mbali katika Wizara ya Biashara na Viwanda wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara hiyo leo katika mkutano wa utekelezaji wa malengo makuu ya mapango kazi wa mwaka 2017/18 na mpango kazi wa mwaka 2018-2019 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Waziri wa Biashara na Viwanda Mhe.Balozi Amina Salum Ali (katikati) alipokuwa akichangia wakati wa mkutano wa Uongozi wa Wizara hiyo wa utekelezaji wa malengo makuu ya mapango kazi wa mwaka 2017/18 na mpango kazi wa mwaka 2018-2019 ambapo Mwenyekiti wake alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar (kulia) Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Nd,Hassan Khamis Hafidh
Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara na Viwanda Nd,Juma Ali Juma alipokuwa akitia ufafanuzi wakati alipokuwa akiwasilisha utekelezaji wa malengo makuu ya mapango kazi wa mwaka 2017/18 na mpango kazi wa mwaka 2018-2019 kwa Mwenyekiti wa mkutano wa Uongozi wa Wizara hiyo leo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara na Viwanda Nd,Rashid Ali Salum alipokuwa akichangia wakati wa mkutano wa Uongozi wa Wizara hiyo wa utekelezaji wa malengo makuu ya mapango kazi wa mwaka 2017/18 na mpango kazi wa mwaka 2018-2019 katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) akiwepo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la ZSTC Dkt. Said Seif Mzee, [Picha na Ikulu.]
No comments:
Post a Comment